Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.
Kikosi cha Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga ambacho kimeshashuka daraja kwenda daraja la kwanza FDL.
Kikosi cha Mgambo JKT
Mchezaji wa Mgambo Mohamed Neto