Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za mikoa na serikali za Mitaa mhe. Hawa Ghasia. Waziri Ghasia alitoa madai kuwa mfuko wa pensheni kwa wafanyakazi wa serikali za mitaa (LAPF) umemkopesha kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, kiasi cha Sh. Bilioni moja.

29 May . 2014