Rais Kikwete alipokutana na Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon Toronto, Canada
Rais Jakaya Kikwete, waziri mkuu wa Canada Stephen Harper na katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-Moon katika mkutano na wanahabari Toronto Canada
Rais Kikwete akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 18, 2013
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete
Kaburi la aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Hayati Edward Moringe Sokoine.



