
James Mbatia ni mmoja wa Viongozi wa Umoja wa UKAWA, na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi ambaye jana ametoa maoni juu ya mgogoro wa Zanzibar

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambae pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)Freeman Mbowe.

Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Mosena Nyambabe akizungumza na waandishi wa habari

Viongozi kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi - UKAWA.
Moja ya picha za ajali iliyotokea hivi karibuni Mkoani Iringa, katika Mji wa Mafinga

Mkuu wa Idara ya Maboresho ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC) wakili Harold Sungusia.

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia.