Rais Kikwete (Kushoto) akiwa na Aliko Dangote mmiliki wa kiwanda kikubwa zaidi cha Saruji duniani kilichoko Nigeria
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.