Dully Sykes Aonesha Unguli wake kwenye Game
Legend wa muziki wa Bongo Fleva Prince Dully Sykes amesema kuwa hajawahi kupata pesa kutokana na kuwapa misemo,majina,aka wasanii wa Tanzania na wala hajawahi kutaka kulipwa kwasababu alikuwa nafanya kwa upendo,pia ameonesha kuchukizwa na mashabiki wanaokomenti matusi katika page yake