Lulu akana kumuua Kanumba

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu leo hii amekana shtaka la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake nyota wa filamu Marehemu Steven Kanumba, katika shauri lililosomwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS