Mos Def kutoa shule SA

Rapa na mwanaharakati wa Hip Hop kutoka Marekani Yasiin Bey, maarufu zaidi kama Mos Def anatarajiwa kushiriki katika programu maalum inayojulikana kama Music Exchange itakayofanyika huko Afrika Kusini, kwa lengo la kuleta pamoja burudani ya muziki pamoja na filamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS