Habida ageukia Uigizaji
Msanii mkali kabisa wa muziki kutoka nchini Kenya, Habida ameamua kuweka nguvu zaidi katika kuonyesha kipaji chake kingine kikubwa cha kuigiza, ambapo ameshiriki katika Tamthilia ya muendelezo ya New Beginnings bado ipo katika matayarisho ya mwisho.