Serikali inakamilisha sera ya gesi - Rais Kikwete

Mabomba ya gesi yakiwa yamewasili katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka mikoa hiyo ya kusini hadi jijini Dar es Salaam

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amewahahakikishia Watanzania kwamba serikali ipo katika hatua za mwisho za kuandaa sera itakayosimamia sekta ya mafuta na gesi kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS