Miyeyusho akana kukacha pambano na MFilipino
Bondia mtanzania Francis Miyeyusho chichi mawe, amesema yuko tayari kwa kushuka ulingoni aprili 5 mwaka huu, kupambana na bondia bingwa wa Ufilipino Ronald Pontillas katika pambano la kuwania ubingwa wa dunia uzito wa bantam kilo 59.