Wasioona walaani vitendo vya unyanyapaa Chama cha Wasioona Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania kimelaani unyanyapaa unaoendelea katika jamii, katika huduma mbalimbali hasa kwa Wanawake wenye ulemavu wanapokwenda kupata huduma za afya ya uzazi. Read more about Wasioona walaani vitendo vya unyanyapaa