DIT yaitandika IFM Magoli 5-2

Wachezaji wakichuana katika soka la Ufukweni

vyuo 12 vya elimu ya juu jijini Dar es salaam nchini Tanzania vimeanza kuchuana katika soka la ufukweni kutafuta bingwa wa michuano inayofanyika kwa mara ya kwanza chini ya usimamizi wa shirikisho la soka nchini TFF.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS