Suala la muungano lageuka moto katiba mpya
Aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanganyika Pius Msekwa na Mwanasheria wa Zanzibar Othman Masoud Othman wameitwa kutatua utata uliojitokeza kwenye hati ya muungano kiasi cha kusababisha baadhi ya wajumbe wa bunge maalumu la kakugoma kujadili rasimu.