Suala la muungano lageuka moto katiba mpya

Aliyekuwa rais wa Tanganyika Julius Nyerere (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na rais wa Zanzibar Abeid Aman Karume

Aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanganyika Pius Msekwa na Mwanasheria wa Zanzibar Othman Masoud Othman wameitwa kutatua utata uliojitokeza kwenye hati ya muungano kiasi cha kusababisha baadhi ya wajumbe wa bunge maalumu la kakugoma kujadili rasimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS