Majambazi yaua na kupora fedha
Mtu mmoja amefariki Dunia na wengine 19 wamejeruhiwa na kuporwa vitu mbalimbali zikiwemo simu za mkononi na fedha baada ya majambazi kufunga barabara kwa Mawe na Magogo na kisha kuteka magari katika eneo la Katadoma barabara ya Morogoro Iringa.