Uhusiano Tanzania na Rwanda ni mzuri - Serikali

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na rais wa Rwanda Paul Kagame

Serikali ya Tanzania imefafanua kuwa uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda ni mzuri na kwamba hali ni tofauti na ambavyo vyombo vya habari vya nchi hizo vimekuwa vikiripoti katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS