Cheka ajifua kumchapa Muiran Aprili 12

Francis Cheka mazoezini

Bondia Francis Cheka SMG wa Tanzania ambaye atashuka uliongoni Aprili 12 mwaka katika ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam kuvaana na bondia toka Iran hivi sasa amerejea jijini Dar es salaam na kuendelea na mazoezi mazito.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS