Vijana wametakiwa kuwa makini na utandawazi Mkurugenzi Mtendaji wa huduma ya Voice of Hope Ministry, askofu Peter Mitimingi, akiwa katika moja ya huduma zinazotolewa na taasisi hiyo. Vijana nchini Tanzania wametakiwa kuwa makini na utandawazi kwani unaweza kuwa na athari katika malezi na hata ukuaji wao. Read more about Vijana wametakiwa kuwa makini na utandawazi