Kikosi cha Azam kikijifua katika uwanja wake wa nyumbani
Kikosi cha Azam kimepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kufikisha point 56 ikiwa ni point 4 mbele ya Yanga yenye point 52 na hivyo kuukaribia ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara kwa kuhitaji point 3 pekee.