Kikwete kuongoza kumbukumbu kifo cha Sokoine

Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania, hayati Edward Moringe Sokoine (kulia) akiwa na rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere.

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania anatarajiwa kuongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edwad Morinnge Sokoine yatakayofanyika wilayani Monduli

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS