HOCKEY DSM yasaka U24

Timu za Dar es salaaam zikichuana katika ligi ya Dar es salaam hivi karibuni

Chama cha mpira wa Magongo Dar es salaam kimeanza mchakato wa kusaka wachezaji wanawake wa mchezo wenye umri wa miaka 18 na 24 katika shule mbalimbali za sekondari wataoshiriki katika michuano ya awali ya mchujo wa kombe la Dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS