Diamond awania tuzo kubwa Afrika

Diamond

Msanii wa muziki Diamond Platinumz, amepiga hatua nyingine kubwa kwa muziki wake nje ya mipaka ya Tanzania, baada ya kuingia katika kinyanganyiro cha tuzo za muziki zinazoandaliwa na kituo cha kimataifa cha Televisheni kupitia tawi lake Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS