GNL Zamba alemewa na deni?
Rapa mkali kabisa kutoka nchini Uganda, GNL Zamba yupo katika wakati mgumu hasa baada ya taarifa kuvuja kuwa anadaiwa kiasi cha shilingi mil. 10 za Uganda, kitita ambacho alikopa kwa ajili ya mandalizi ya onyesho lake la Ceazar ambalo halikufanyika.