Davido kukonga mashabiki Rwanda

Msanii Davido wa nchini Nigeria

Msanii nyota wa nchini Nigeria David Adedeji Adeleke aka Davido tayari amekula shavu la kutumbuiza katika sherehe za siku ya ukombozi ambazo zitafanyika tarehe 4 mwezi July mwaka huu katika uwanja wa taifa wa Amahoro nchini Rwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS