TCCIA yaikosoa serikali kuhusu ajira kwa vijana

Waziri wa viwanda na Biashara nchini Tanzania Dkt Abdallah Kigoda.

Chama cha wafanyabiashara, wenye viwanda na kilimo Tanzania kimesema jitihaha za serikali katika kusaidia ajira kwa vijana haziwezi kufikiwa endapo mipango itaandaliwa kisiasa bila kuwa na malengo yanayopimika na kushirikisha sekta binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS