Nyavu haramu za Mil. 90 zateketezwa kwa moto Sehemu ya nyavu haramu zikiteketezwa kwa moto Serikali kupitia idara ya uvuvi mkoani mara imeendesha oparesheni kali na kufanikiwa kukamata zana haramu ambazo zilikuwa zikitumika kuvulia samaki katika ziwa Victoria Read more about Nyavu haramu za Mil. 90 zateketezwa kwa moto