Vatoloco Soldiers kujongea Dar

staa wa muziki wa Hip Hop anayetokea Arusha Fido Vato

Kutoka kanda ya kaskazini, msanii kutoka kundi la Vatoloco Soldiers, Fido Vato amesema kuwa wamejipanga kusogeza muziki wao karibu zaidi na mashabiki wao, wakiwa na mkakati wa kujenga studio ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS