Watumishi zaidi ya 400 wafukuzwa kazi TANROAD

Moja ya Miuzani za Tanroad katika barabara kuu nchini.

Wakala wa Barabara Tanzania –TANROAD, imewafukuza kazi zaidi ya watumishi wake mia nne kutoka kitengo cha mizani zilizopo kwenye barabara kuu nchini kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kuomba na kupokea rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS