Watumishi zaidi ya 400 wafukuzwa kazi TANROAD
Wakala wa Barabara Tanzania –TANROAD, imewafukuza kazi zaidi ya watumishi wake mia nne kutoka kitengo cha mizani zilizopo kwenye barabara kuu nchini kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kuomba na kupokea rushwa.