Hugh Masekela kutua UG

Mwanamuziki wa miondoko ya Jazz nchini Afrika Kusini Hugh Masekela

Msanii mkongwe na mtaalam wa kucharaza tarumbeta Afrika Hugh Masekela, kutoka Afrika Kusini, anatarajiwa kutua nchini Uganda siku ya Jumatatu, tayari kwa ajili ya kufanya onesho kubwa kabisa nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS