Manispaa yatakiwa kuongeza matangazo BVR, Iringa
Viongozi wa vyama vya CCM, na CHADEMA wilayani Iringa Mjini wakiitaka manispaa ya Iringa kuongeza matangazo kuhamasisha wananchi kujitokeza zaidi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mtindo wa kieletroniki BVR.