Jaguar - Upendo katika shida na raha

Msanii wa muziki wa nchini Kenya Jaguar

Staa wa muziki Jaguar kutoka nchini Kenya ameingia kwa mara nyingine katika vichwa vya habari baada ya kuchangia kiasi cha shilingi laki 2 za Kenya, zaidi ya shilingi milioni 4 za kitanzania katika harusi ya rafiki yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS