Mchambuzi Mwandamizi wa Compyuta wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa, Frank Mhando akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa moja ya mashine ya BVR
Zoezi la kuandikisha wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma limeendelea, ambapo idadi ndogo ya wananchi imejitokeza katika zoezi hilo.