TANESCO kupanga upya viwango vya malipo ya umeme

Jengo la Shirika la Umeme nchini Tanzania TANESCO mkoa wa Dar es Salaam.

Shirika la umeme nchini Tanzania TANESCO, linakusudia kupanga viwango vipya vya malipo ya umeme vitakavyotoa unafuu kwa taasisi hiyo na wadau wake endapo vyombo vinavyohusika ikiwamo EWURA vitaidhinisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS