Ragga Dee awania umeya wa KLA

msanii wa miondoko ya Dancehall nchini Uganda Ragga Dee

Ari ya wasanii kujiunga na siasa haipo tu Tanzania bali pia hata nchini Uganda, ambapo msanii wa dancehall, Ragga Dee amechukua fomu za chama tawala cha NRM kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea nafasi ya Meya wa Kampala.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS