Tanzania ni nchi ya Tano kwa Seli Mundu Duniani Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Seif Rashid Watoto 11,000 huzaliwa na Ugonjwa wa Seli Mundu ama Siko Seli hapa nchini na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Tano duniani yenye wagonjwa wengi wa Seli Mundu. Read more about Tanzania ni nchi ya Tano kwa Seli Mundu Duniani