Nape ashutumiwa kufunga goli la Mkono, Mtama

Katibu Uenezi wa Chama cha Mapinduzi taifa, Nape Nnauye ambae ameshinda kura za maoni Jimbo la Mtama kupita cha hicho.

Wagombea waliokuwa wakiwania Kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya Ubunge katika Majimbo ya Mtama na Mchinga wameweza kueleza masikitiko yao dhidi ya wagombea wenzao wawili ambao wametangazwa kuwa wao ndio washindi katika maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS