Nchi kuingia gizani wiki nzima masaa 12

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la ugavi la umeme nchini (TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba:

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kukata umeme leo kwa mikoa inayotumia gridi ya taifa kwa wiki moja saa 12 kila siku ili kupisha uwashaji wa mitambo ya gesi kutoka Mtwara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS