Watunga sera watakiwa kuboresha mfumo wa Fedha

Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa kuendeleza sekta ya fedha Tanzania Sostenesi Kewe.

Watunga sera nchini wameshauriwa kuboresha mfumo utakaotoa fursa sawa kwa wananchi bila kujali kipato chao ili kuweza kupata huduma za kifedha kwa wafanya biashara wadogo,wa kati na wakubwa ili kuwapandishia kipato kulingana na matumizi husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS