Serikali kuanza kuchimba Madini ya Urani 2016

Naibu waziri wa Nishati na madini anae shughulikia Madini, Mh. Charles Kitwanga

Naibu waziri wa Nishati na madini , Mh. Charles Kitwanga ametembelea eneo la mradi la mto mkuju litakalochimbwa madini ya urani katika wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma na kuwaahidi wananchi ifikapo april mwaka 2016 mradi utaanza kuzalisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS