Teknolojia ya simu yafaidisha wafanyabiashara

Kaimu Mkurugenzi wa Costech Dkt. Dugushilu Mafunda

BAADHI ya wajasiriamali mkoani Njombe wamenufaika kwa kuinua uchumi wao na kufanya biashara zao kuwa rahisi baada ya kupitiwa na mradi wa miaka mitatu ya kuondokani umaskini mijini na vijijini kwa kupitia teknolojia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS