Serikali ya Magufuli kuijenga upya Tanga
Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Mh. John Pombe Magufuli amesema ni dhamira ya Serikali yake ya awamu ya tano kuifanya mwambao wa Bahari ya Hindi Tanga ikiwemo kuwa kuwaa ukanda wa Viwanda ili kuweza kutoa ajira hasa kwa vijana.

