Bunge Nov 17, Masaju mwanasheria mkuu wa serikali

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli muda mfupi baada ya kuapishwa kwake hii leo, tayari ameanza kazi, ambapo kazi ya kwanza aliyoanza nayo ni uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS