LHRC yalaani uvunjwaji wa demokrasia waliofanyiwa
Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu nchini LHRC Dkt. Hellen Kijo-Bisimba amekemea tabia ya uvunjwaji wa demokrasia uliotumiwa na vyombo vya usalama kuendelea kushikilia vifaa vyao walivyokuwa wanafanyia kazi ya uangalizi wa uchaguzi