Tanzania hatarini kukabiliwa na uhaba wa maji

Meneja Takwimu za Hali ya Hewa nchini ,Janet Loning`o

Tanzania ni moja ya nchi za ukanda wa bahari ya Hindi ambazo zinatabiriwa kuwa huenda zikakabiliwa na uhaba wa maji pamoja na ongezeko la bei za vyakula kutokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa zinazoendelea kujitokeza na kuathiri sekta mbali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS