Serikali yatakiwa kudhibiti wanaotelekeza watoto

Mwanamama Petronila Simon mkazi wa Arusha mwenye mtoto Mlemavu wa viungo na akili alitelekezwa na Mzazi mwenzie

Mwanamama Petronila Simon mkazi wa Arusha mwenye mtoto mlemavu wa viungo na akili amelalamikia tabia ya kinababa kuwatelekeza kinamama pindi wanapojifungua watoto walemavu na kuwaacha bila kuwahudumia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS