Tanzania yaunga mkono mabadiliko Baraza la Usalama

Balozi Ramadhan Mwinyi Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.

Tanzania imeunga mkono mapendekezo ya kufanyia marekebisho Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili liweze kufanya kazi ipasavyo, liwe jumuishi zaidi na ili lioane vyema na hali halisi iliyopo duniani sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS