liyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo Mama Anna Mghwira,Picha na Maktaba
Aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo Mama Anna Mghwira amewataka mawaziri kumshauri Rais katika kazi zake na sio kuelekezwa kufanya shughuli zao