Wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Abdulla Lutavi,wajumbe wa halmashauri kuu za wilaya ya Tanga,Kassi Kisauji na wa Mkinga Omari Mwasingo
ZAIDI ya wakazi mia mbili wa kata nne za jiji la Tanga wameingia kwenye mgogogro wa ardhi na oungozi wa kiwanja cha Ndege cha Tanga.