Radio akanusha 'kubwagana na Lilian'

Msanii wa muziki nchini Uganda Moze Radio na mama mtoto wake Lilian Mbabazi wakiwa na mtoto wao

Msanii wa muziki Mowzey Radio amezungumzia tetesi za kutengana na mama mtoto wake msanii wa muziki Lilian Mbambazi na kueleza kuwa licha ya maneno mengi ya wenye chuki, mwanamke huyo bado ni mke wake na ataendelea kuwa mkewe milele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS