Hali ya wananchi Kilosa ni mbaya sana - prof J
Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule (CHADEMA ) maarufu kama prof J amesema hali ya wananchi katika jimbo lake hususani wananchi wa kata ya Tindiga wilayani Kilosa ni mbaya sana kutokana na mafuriko kusomba nyumba zao zaidi ya 600.

