Hali ya wananchi Kilosa ni mbaya sana - prof J

Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule (CHADEMA ) maarufu kama prof J amesema hali ya wananchi katika jimbo lake hususani wananchi wa kata ya Tindiga wilayani Kilosa ni mbaya sana kutokana na mafuriko kusomba nyumba zao zaidi ya 600.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS