Kuna changamoto lakini tutashinda tenisi- Riziki

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya mchezo wa tenisi kwa walemavu ya Tanzania Riziki Salum amesema japo kuna mapungufu katika maandalizi ya mashindano ya wazi ya kitaifa ya mchezo huo lakini wanaamini watafanya vizuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS