BOT yaja na mfumo kupanua huduma za kifedha

Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu

Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu amezindua rasmi mfumo wa utoaji elimu kwa watumiaji huduma za kifedha ili kuondoa malalamiko yanayotokana na uelewa mdogo wa huduma hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS