Ban Ki-moon awasili Burundi kusaka Usuluhishi

Katibu Mkuu wa UM Ban Ki-moon akilakiwa na Makamu wa pili wa rais nchini Burundi Gaston Sindimwo mjini Bujumbura, baada ya kuwasili

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amewasili mjini Bujumbura, Burundi katika juhudi za kujaribu kukwamua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa zaidi ya miezi kumi nchini humo kufuatia muhula wa tatu wa Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS