Ban Ki-moon awasili Burundi kusaka Usuluhishi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amewasili mjini Bujumbura, Burundi katika juhudi za kujaribu kukwamua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa zaidi ya miezi kumi nchini humo kufuatia muhula wa tatu wa Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza.

